Juhudi Za Kumaliza Ukeketaji Kwa Mtoto Wa Kike Zaendelezwa Pokot Magharibi
Wanaharakati mbalimbali wamekongamana na serikali ya kaunti ya Pokot Magharibi katika wadi ya Alale kusisisitiza kujitolea kwao kukomesha ukeketaji ya wasichana katika eneo hilo.
Ikumbukwe tarehe sita mwezi Februari, dunia nzima iliadhimisha siku ya …